Thursday, May 15, 2014

Ukahaba na watoto Malindi

Watoto wa kike wenye hadi umri wa miaka kumi na miwili, wanalaghaiwa na kuchagizwa 

kuingia katika ukahaba. Katika mji unaoonekana kama peponi, Malindi uliopo kwenye pwani ya 
Kenya, kisirisiri unaendesha biashara ya ngono kwa watoto. Watalii huwa tayari kulipa fedha ili 

kufanya ngono katika maeneo ya mwambao. Anne Soy anaarifu kutoka Malindi.

No comments: