ANGALIA LIVE NEWS

Monday, January 12, 2015

ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA MAJI AMOS MAKALLA MBEYA VIJIJINI

Naibu waziri wa Maji Mhe Amos Makalla akikwepa utelezi wakati akikagua chanzo cha maji ya chemchemu ya Ndoba kijiji cha Galijembe
Naibu Waziri wa Maji Mhe Amos Makalla akipokea zawadi kijiji cha Shongo ambako wananchi wakimlaki kwa furaha 
Naibu Waziri wa Maji Mhe Amos Makalla (katikati) Akipanda mti chanzo cha Ndoba- kijiji cha Galijembe
Naibu Waziri wa Maji Mhe Amos Makalla akizindua rasmi mradi kijiji cha shongo.

Naibu Waziri wa Maji Mhe Amos Makalla amefanya ziara ya vijiji mbalimbali Mbeya Vijijini ambako amezindua mradi mkubwa maji vijiji vya Shongo na Igale maelfu wafurahia.

Katika ziara hiyo kaagiza wakala wa visima (DDCA) kuchimba kisima kirefu kijjiji cha Mjele kutekeleza ahadi ya mhe Rais Jakaya Kikwete kuwaokoa wananchi maelfu kufuata maji umbali wa kilomita 7. Pia ametoa ahadi ya kuanza utekelezaji wa mradi wa maji wa maji vijiji vya Iwindi,Mwashiwawala na Izumbwe ambao ulisimama baada mkandarasi kusimamishwa kwa kushindwa kazi.

1 comment:

Anonymous said...

nyuma ya picha hii kuna mtu kaziba pua yake inaonyesha kunatoka harufu mbaya sana.Bongo matokomeyani balaaa sanaaa.