Advertisements

Tuesday, April 21, 2015

BBQ NA MTANANGE WA MUUNGANO KUFANYIKA. WALKER MILLS SIKU YA JUMAMOSI PBZ KUKABIDHI JEZI KESHO

Kiwanja kitakachopigiwa mtanange

Mechi ya Muungano itakayochezwa Jumamosi April 25, 2015 kati ya timu ya Tanzania Bara na Tanzania Visiwani  chini ya udhamini wake People's Bank of Zanzibar(PBZ) ambao ndio wa dhamini mechi hii tangia mwaka jana.

Mechi inatarajiwa kuanza saa 12 jioni na kutakua na BBQ kuanzia saa nane mchana hapo hapo Walker Mills

Timu zote zipo kwenye mazoezi makali zikijiwinda na mpambano huo.

Anuani ya uwanja ni 8001 Walker Mill Road, District Heights, MD, 20747,
Jezi
 Jezi

 Jezi
 Jezi 
Jezi
Jukwaa la watazamaji

1 comment:

Anonymous said...

Kutokana na upungufu wa wachezaji mpira Upande wa Zanzibar, tunamrudisha Dulla visiwani na tunamrecruit Seif Ndosa Zanzibar...