jamani kweli Mungu amesikia kilio cha Tanzania kutokana na umasikini unaoletwa na watu wachache na nchi yetu ni tajiri haswa na tumependelewa.
Ushauri WA bure fukuza wasaidizi wako waliokukataza kwenda kuona wodi ya wazazi MhimbiliKumbe wanajuwa uozo mwingi hawasemiSasa tukitaka kukupata tukupe taarifa tutumie Nani tunawaogopa wasaidizi wako si wakweli
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku yake
jamani kweli Mungu amesikia kilio cha Tanzania kutokana na umasikini unaoletwa na watu wachache na nchi yetu ni tajiri haswa na tumependelewa.
ReplyDeleteUshauri WA bure fukuza wasaidizi wako waliokukataza kwenda kuona wodi ya wazazi Mhimbili
ReplyDeleteKumbe wanajuwa uozo mwingi hawasemi
Sasa tukitaka kukupata tukupe taarifa tutumie Nani tunawaogopa wasaidizi wako si wakweli