Tuesday, March 8, 2016

Kipindi cha JUKWAA LANGU na Mzee Emmanuel Muganda...(Mar 7, 2016)

Kipindi hiki ambacho kinakujia kila JUMATATU, kinajadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu Tanzania yetu ya sasa na ile tuitakayo
Katika kipindi hiki utasikia mjadala tuliofanya na mtangazaji mkongwe Emmanue Muganda kuhusu mambo mbalimbali yanayoendelea nchini Tanzania
KARIBU

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake