Jagw Music Mchiriku kutoka Dar-Es-Salaam Tanzania walikuwa New York City live siku ya Tar 5 Watanzania waliburudika na kujikumbusha za Uswaz kiroho safi.
Mwenyekiti wa Tawi la CCM New York Bw, Seif Akida akipata ukodak na vijana wa Jagwa Music
Mwenyekiti wa New York Tanzania Community Slyvester Mwingira nae akitapa ukodak na Jagwas.
No comments:
Post a Comment
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake