Upendo wenu umedhihirika kwetu pale ambapo mlilipokea jambo hili kama la kwenu, bila kujali baridi kali, mliweza kufika kutufariji na kutupa misaada mbalimbali kama tulivyoeleza hapo juu.
Si rahisi kutaja mtu mmoja mmoja ila tunawaomba mpokee shukurani zetu toka vilindi vya mioyo yetu.
Si rahisi kutaja mtu mmoja mmoja ila tunawaomba mpokee shukurani zetu toka vilindi vya mioyo yetu.
Mwenyezi Mungu awabariki kila mmoja wenu awazidishie pale mlipopunguza kwa ajili yetu. Nasi twawatakia amani, furaha, upendo na mafanikio mema kwa mwaka mpya,2017. Mungu awabariki.
No comments:
Post a Comment
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake