Advertisements

Saturday, June 17, 2017

NMB YAFUTARISHA BAADHI YA WATEJA WAKE MJINI PEMBA

Mkuu wa Mkoa Pemba Kusini Mhe. Mwanajuma Majidi Abdalallah (Kulia) akipokea zawadi maalumu kwa ajili ya Ramadhani kutoka kwa Meneja wa NMB kanda ya Dar es salaam, Bi. Vicky Bishubo (kushoto) mara baada ya kumalizika kwa tafrija ya futari iliyoandaliwa na Benki ya NMB kwaajili ya Wateja wake walio kwenye mfungo Mtukufu wa Ramadhani Mjini Pemba. Hafla hii ya Futari ilifanyika mwishoni mwa wiki Mjini Pemba- Zanzibar.
Meneja Mwandamizi wa kitengo cha wateja Binafsi wa NMB - Omari Mtiga (Kulia) akimkabidhi Afisa Tawala Mkoa wa Pemba, Bwana Yussuf Mohammed Ali zawadi maalumu kwa ajili ya Ramadhani iliyotolewa na Meneja wa NMB kanda ya Dar es salaam, Bi. Vicky Bishubo (hayupo pichani) mara baada ya kumalizika kwa tafrija ya futari iliyoandaliwa na Benki ya NMB kwa ajili ya wateja wake walio kwenye mfungo Mtukufu wa Ramadhani Mjini Pemba.
Sehemu ya wageni waalikwa ambao walihudhuria tafrija ya futari iliyoandaliwa na Benki ya NMB kwaajili ya Wateja wake walio kwenye mfungo Mtukufu wa Ramadhani. Hafla hii ya Futari ilifanyika Mjini Pemba-Zanzibar.
Maofisa wa Benki ya NMB wakiwa kwenye picha ya pamoja na Mku wa Mkoa Pemba Kusini, Mhe. Mwanajuma Majidi Abdalallah (Wa nne kutoka kushoto) mara baada ya kumalizika kwa tafrija ya futari iliyoandaliwa na Benki ya NMB kwaajili ya Wateja wake walio kwenye mfungo Mtukufu wa Ramadhani Mjini Pemba. Hafla hii ya Futari ilifanyika mwishoni mwa wiki Mjini Pemba.
Maofisa wa Benki ya NMB wakiwa kwenye picha ya pamoja na Mku wa Mkoa Pemba Kusini, Mhe. Mwanajuma Majidi Abdalallah (Wa nne kutoka kushoto) mara baada ya kumalizika kwa tafrija ya futari iliyoandaliwa na Benki ya NMB kwaajili ya Wateja wake walio kwenye mfungo Mtukufu wa Ramadhani Mjini Pemba. Hafla hii ya Futari ilifanyika mwishoni mwa wiki Mjini Pemba.

No comments: