Advertisements

Thursday, March 15, 2018

2018 ATC METRO ELECTION* Uchaguzi ni March 24th

Tafadhali kama ulikua hujalipa $20 katika mkutano wa kuchagua kamati ya uchaguzi unaombwa ulipie sasa usije ukapoteza haki yako ya msingi ya kupiga kura fuata maelekezo hapo mwanzo na tafadhali lipia mapema uwe na haki ya kupiga kura

ATC Metro Electoral Commission (AMEC) Team
Robert Saulanga/President/202.384.9726
Richard Mawenya/Vice President/240.462.2480
Julius Manase/Secretary/240.393.8445
Eddah Ghachuma/Treasure/301.686.4175
Jessica Mushala/Commissioner/301.807.4934
Kenyata Mayanga/Commissioner/240.723.8617
Simba Abdoul/Commissioner/202.758.7805

No comments: