Advertisements

Monday, August 13, 2018

HAFLA YA UTAMBULISHO WABENKI MPYA YA GT KWA WATEJA WAKE YAFANA DAR

Mgeni rasmi, Jaji mstaafu, Thomas Mihayo (wa pili kulia) Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya GT, Juma Muhimbi (katikati) Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Jubril Adeniji (kushoto), mjumbe wa bodi, Dkt. Florence Temu (wa pili kushoto) na Mjumbe wa Bodi, Francis Nanai (kulia) kwa pamoja wakikata keki wakati wa hafla ya utambulisho wa benki hiyo mpya kwa wateja wake, iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika ofisi zake zilizopo Morocco jijini Dar es Salaam. Picha na Muhidin Sufiani (MAFOTO)
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya GT, Juma Muhimbi (kushoto) akigonganisha glasi na Mjumbe wa bodi Francis Nanai wakati wa hafla hiyo.
Mc Charls akiendesha hafla hiyo
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Jubril Adeniji 
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya GT, Juma Muhimbi,akizungumza wakati wa hafla hiyo.
Balozi wa Nigeria nchini Tanzania, Dkt. Sahabi Gada, akisalimiana na mjumbe wa bodi ya benki hiyo, Dkt. Florence Temu wakati alipowasili ukumbini hapo.
Mgeni rasmi katika hafla hiyo,Jaji mstaafu Thomas Mihayo,akihutubia wafanyakazi na wateja waliohudhuria hafla hiyo.
Baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo wakifurahi kwa pamoja
Viongozi wakipiga picha ya pamoja ya kumbukumbu
Utambulisho wa baadhi ya viongozi wa benki hiyo
Mc akigonganisha glasi na mmoja wa wafanyakazi wa benki hiyo
Viongozi wakigonganisha glasi 
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugeni, Juma Muhimbi akifurahia jambo na Mkurugenzi wa Kampuni ya Montage, ambaye ni mratibu wa hafla hiyo
Wafanyakazi wakigonganisha glasi
Mgeni rasmi na Mc wakigonganisha glasi
Selfie zilihsika pande hizi kwa baadhi ya wafanyakazi
Picha ya kumbukumbu
Twanga fotooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

No comments: