Saturday, September 14, 2024

RAIS DKT. MWINYI AZINDUA RIPOTI YA JIOLOJIA NA UTAFITI WA MADINI ZANZIBAR


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Ripoti ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Zanzibar,uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 12-9-2024.
BAADHI ya Wageni waalikwa,Viongozi wa Wizara na Wafanyakazi wa Wizara ya Maji,Nishati na Madini Zanzibar, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuzinduwa Ripoti ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Zanzibar, uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 12-9-2024.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa Vitabu vya Ripoti ya Utafiti wa Jiolojia na Utafiti wa Madini Zanzibar, akikabidhiwa na Waziri wa Madini wa Tanzania Mhe. Anthony Mavunde, wakati wa hafla ya uzinduzi wa ripoti hiyo uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 12-9-2024.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizindua Ripoti ya Utafiti wa Jiolojia na Utafiti wa Madini Zanzibar, hafla hiyo ya uzinduzi iliyofanyika leo 12-9-2024 katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja na (kushoto ) Waziri wa Maji,Nishati na Madini Zanzibar Mhe. Shaibu Hassan Kaduara
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akionesha Kitabu cha Ripoti ya Utafiti wa Jiolojia na Utafiti wa Madini Zanzibar, baada ya kuizindua leo 12-9-2024, katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja na (kulia kwa Rais) Waziri wa Maji,Nishati na Madini Zanzibar Mhe. Shaibu Hassan Kaduara



WENYEVITI wa Bodi za Taasisi za Wizara ya Maji Nishati na Madini Zanzibar wakifuatilia hafla ya Uzinduzi wa Ripoti ya Utafiti wa Jiolojia na Utafiti wa Madini Zanzibar, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani ) akihutubia na kuizindua ripoti hiyo katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 12-9-2024

No comments: