Tuesday, September 24, 2024

RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZIN MHE.DK.HUSSEIN ALI MWINYI AHUTUBIA MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA ELIMU BILA MALIPO ZANZIBAR NEW AMAAN COMPLEX


WANAFUNZI wa Skuli mbalimbali Zanzibar wakiwa katika maandamano ya kuadhimisha Miaka 60 ya Elimu Bila Malipo Zanzibar wakiwa na picha za Marais wa Awamu mbalimbali wa Zanzibar, maadhimisho hayo yaliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex Jijini Zanzibar  23-9-2024.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipokea Maandamano ya Wanafunzi wa Skuli mbalimbali za Unguja na Pemba wakati wa sherehe za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Elimu Bila Malipo Zanzibar, zilizofanyika katika Uwanja wa New Amaan Copmlex Jijini Zanzibar 23-9-2024 na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Lela Mohammed Mussa.
WANAFUNZI wa Skuli za Mahitaji Maalumu Zanzibar wakishiriki katika Maandamano ya Kuadhimisha Miaka 60 ya Elimu Bila Malipo Zanzibar, maadhimisho hayo yaliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex Jijini Zanzibar 23-9-2024

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipokea Maandamano ya Wanafunzi wa Skuli mbalimbali za Unguja na Pemba wakati wa sherehe za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Elimu Bila Malipo Zanzibar, zilizofanyika katika Uwanja wa New Amaan Copmlex Jijini Zanzibar 23-9-2024 na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Lela Mohammed Mussa.














No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake