Balozi Sefue akiwa ndio amewasili
Balozi Sefue akipata menyu
Mama Mnanka akisoma lisala kwa niaba ya wafanyakazi wa Ubalozi
Mama Mnanka akimkabidhi zawadi Balozi Sefue
Manae Balozi Sefue akipokea zawadi kwa niaba ya Mama ambaye hakuwepo kwa sababu yupo Tanzania kwa shughuli za kifamilia
Balozi Sefue akiwashukuru wafanyakazi wa ubalozi
Mpwa akijipendelea na U-Kodak na Mh:Balozi
Wadau kutoka OHio nao hawakua mbali kwenye U-kodak
Juu ni wafanyakazi wa ubalozi.chini ni wafanyakazi wa ubalozi wakiwa na familia zao
Chef Benja akiwa kazini
Chef Ally nae hakua mbali
Menyu ikiwa ready kwa mlaji
wafanyakazi wa ubalozi na ndugu na jamaa wakiwa kwenye menyu
No comments:
Post a Comment
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake