
Mazungumzo ya siri yaanza Dar, Zanzibar
Aaga Karatu, atoa sababu nzito za kujitosaBAADA ya mgombea Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ), Dk. Wilbrod Slaa, kubadili upepo wa kisiasa nchini kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, chama hicho sasa kimo katika mkakati mahususi wa kumpata mgombea mwenza mwenye ushawishi mkubwa kutoka Chama cha Wananchi (CUF), Raia Mwema limethibitishiwa.
Habari za uhakika kutoka CHADEMA na CUF zimethibitisha kwamba mazungumzo yasiyo rasmi yamekwisha kuanza pamoja na kuwa tayari majina mazito ya wanasiasa kutoka Zanzibar yameanza kutajwa kuombwa kuwa pamoja na Dk. Slaa katika uchaguzi huo wa Oktoba 31.
kwa habari zaidi Bofya hapa
kwa habari zaidi Bofya hapa
No comments:
Post a Comment
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake