Tuesday, September 28, 2010

Image
Hili ni moja kati ya magari yanayotumiwa na muungano wa vyama vya upinzani isipokuwa Chadema, ambavyo vimemsimamisha mgombea mmoja wa ubunge, Mariam Mwakingwe wa chama cha NCCR- Mageuzi likiwa limesheheni bendera za vyama hivyo mjini Iringa (Picha na Frank Leonard).

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake