Loveness Mamuya anatoa shukrani zake za dhati kwa wote waliohudhulia na ambao walishindwa kutokana na kutingwa au kukosa nafasi kwenye memorial Service ya Mpendwa Mama yake,iliyofanyika Jumamosi Sept 25,2010.
Nina sema Asanteni mno na Mwenyezi Mungu awazidishie.
"Picha zinakuja"
No comments:
Post a Comment
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake