ANGALIA LIVE NEWS

Monday, September 20, 2010

VIJIMAMBO ikivinjali New York,

Juu ni UTURI unaouzwa barabarani na chinga wa Africa magharibi ambayo matumizi yake ni kujipaka kama unamtoko au pia unaweza kuuweka kwenye hicho chombo picha kama kinavyoonekana chini na kuwasha mkaa chini yake na manukato yataanza kutoa moshi wa manukato na kunukia nyumba nzima yote ni New York
VIJIMAMBO ilivinjali kwenye hili duka la MACY'S ambalo ndio kubwa kuliko yote duniani.
Hili ndio jengo refu kwa sasa New York linaloitwa EMPIRE STATE BUILDING
Hiki ndio kirefu cha NYPD
Huyu mdau wa New York wanakua wamejipaka rangi ya dhahabu na kuganda kama sanamu lakini ukitaka kumpiga picha lazima utoe uchache
VIJIMAMBO pia ilivinjali Madison Square mjengo ambao Mike Tyson amezinyuka sana wakati wa enzi zake
Times Square nayo ni moja ya vivutio vikuu vya watalii New York

No comments: