ANGALIA LIVE NEWS

Monday, November 22, 2010

Moto Wa Flava Nite Usiku Wa Kuamkia Leo @ Mzalendo Pub Na Dj Bonny Luv & Dj Mackay
Dk Mackay akifanya vitu
kwa picha zaidi Bofya Read More 
Dj Nambari wa Nchini Dj Bonny Luv akifanya vitu usiku wa flavanite
Dj Bonny Luv na Mdau
Wadau
Dj Mackay,Dj Bonny Luv akiwa katika picha ya pamoja na wadau
Nyomi la wadau
Wadau wakiduarika
Ni kila siku ya jumamosi ndani ya mzalendo pub utakula ngoma za ukweli kutoka kwa dj nambari wani nchini Tanzania Dj Bonny Luv na Dj Mackay
PICHA KWA HISANI YA HAKI NGOWI

No comments: