Friday, January 14, 2011

Baada ya kazi ni menyu na udirinki kidogo!!

Okoka Sanga akipata wali na samaki kama alivyokutwa na Vijimambo kwenye mgahawa wa Millenium uliopo 1511 University Blvd,Hyattsville,MD

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake