Wednesday, January 12, 2011

Jamaa aiba tinga tinga la kukwangulia snow,aua Polisi

Barefoot man steals snow plow, kills cop
Jamaa aliiba tinga tinga la kukwangulia snow na kukimbizana na polisi kwenye mitaa takribani saa mbili siku ya Jumatano mjini Toronto,Canada na kusababisha ajali iliyouwa  Afisa Polisi na kubamiza magari ya watu mitaani likiwemo gari la Polisi.(picha kwa hisani ya CNN)

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake