Sunday, January 9, 2011
Wakazi wa Dar es Salaam wakisubiri kukaangiwa samaki kwenye mabanda ya Soko la Magogoni, jijini jana. Hata hivyo bado suala la usafi katika mabanda hayo ni tete kutokana na wakaangaji wa samaki kutoyaweka katika hali nzuri. (Picha na Fadhili Akida).
No comments:
Post a Comment
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake