ANGALIA LIVE NEWS

Friday, February 4, 2011

Image
Baadhi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) waliokuwa wakiandamana na kukabiliana na askari Polisi wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU). Hata hivyo, baadhi ya watu walitilia shaka kijana aliye kulia kama naye kweli ni mwanachuo. (Na Mpigapicha Wetu).

No comments: