Advertisements

Friday, April 29, 2011

MAMA BISHANGA AMEREMETA

Picha Juu ni Christina Innocent akiwa na mumewe Mr Marolen ambae ni mfanya biashara Johannesburg na    ambae asilia amatokea Limpopo South Africa, Christina na Marolen walifunga  ndoa tarehe 5 march 2011, katika kanisa la st peters Oysterbay, na reception ilifanyikia  Peacock hotel Dar es slaam.
Picha chini Bwana na Bibi Harusi wakipata picha ya pamoja na familia nje ya kanisa la St Peter,

No comments: