ANGALIA LIVE NEWS

Monday, April 4, 2011

Tangazo la Misa Durham NC

Haya Tena Durham NC! Mhubiri, Bahunde Erick a.k.a (Kitambaa cha Cheupe).  Chenye maajabu kuliko yanayo semwa huko Loliondo Arusha Tanzania.   Mhubiri huyu atakuwa akiendesha misa za Ishara na Maajabu katika ukumbi wa Yates Babtist  Association uliopo Durham. Watu wote wenye njaa na kiu ya kuona matendo makuu ya Mwenyezi Mungu wanakaribishwa; kila  Jumamosi kuanzia saa Kumi na mbili na nusu joini mpaka saa mbili usiku.

The address is:
 4800 Garrett Road
Durham, NC 27707
 Time: 6:30Pm to 8Pm
Date: Every Saturday

No comments: