ANGALIA LIVE NEWS

Sunday, April 10, 2011

Washika Mic

Sunday Shomari ndie aliyekua MC kwenye Wedding Anniversary ya Salha na Isaac Kibodya iliyofanyika Jumaosi April 9,2011,Leominster,MA
Hamza Mwamoyo akiongea machache kwenye Wedding Anniversary ya Salha na Isaac Kibodya
Mfanyakazi mwenzake na Isaac Kibodya ambae jina halikupatikana,nae akiongea mawili matatu 

No comments: