Saturday, May 21, 2011

Mercy Ligate akamata Nondozz

Nondozzzzzzz
Mercy Ligate akiwa amekamata Nondo yake kibindoni kwenye sherehe za Graduation zilizofanyika Ijumaa May 20,2011,Bowie State,University.
Mercy akiwa na Baba mwenye nyumba wake na watoto wao katika U-kodak moment
Shemeji ya Mercy,Obed Ligate pamoja na mama mwenye nyumba wake wakipata U-kodak wa pamoja 
Mercy akiwa na familia yake kutoka kushoto ni Mama Mfanga,Mecry,Mzee Mfanga na Eric Mfanga
Familia ya Ligate na Mfanga wakipata U-kodak Moment
Kutoka shoto ni Carol,Professor,Eric,Mercy,Leah,Mama na Baba Mfanga
Mercy akipata U-kodak na Professor wake wa Bowie State University.

1 comment:

  1. Congrats to the Grad...Obed, its been many many years Man-since the Tambaza days. How are you doing?

    Its me madness silent..lol

    ReplyDelete

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake