ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, June 18, 2011

Misa ya kiswahili JULY 3,2011

Ndugu wapendwa mabwana na mabibi,vijana kwa wazee na watoto,karibuni sana katika misa ya kiswahili ya kikatoliki.                           


Mahali:katika kanisa la mt.mark.                             
7501 adelphi road,
hyattsville,20783.   

Muda:saa nane na nusu 
mchana(2:30pm).                                                

Karibuni sana wote. Baada ya misa tutafanya uchaguzi wa viongozi wa jumuiya yetu ya kikatoliki. Njoo ushiriki katika kuchagua viongozi wa jumuiya yetu ya kikatoliki.
Asanteni sana.
Padri Shao.

No comments: