Tuesday, August 30, 2011

JK AKITOA SALAAM


Rais Jakaya Kikwete akitoa salamu kwa jumuiya ya Istqaama ya Tanzania, tawi la Dar es Salaam mara baada ya kushiriki katika futari iliyoandaliwa na jumuiya hiyo jijini Dar es Salaam. (Picha na Freddy Maro).

No comments: