Advertisements

Tuesday, August 30, 2011

SIKUKUU YA EID,WASHINGTON,DC,LEO AUG 30,2011

Msikiti wa Islamic Center uliopo Massachusetts Av,Washington,DC ndio uliswaliwa swala ya Eid Leo Aug 30.2011
Juu na chini ni Waumini wa dini ya Kislam waliojumuika pamoja msikitini hapo kuswali swala ya Eid
Waumini wa Dini ya Kislam wakibadilishana mawili matatu na huku wengine wakipeana mkono wa Eid
Ndugu zetu kutoka Somalia wakipeana mkono wa Eid
Nipongezi za Eid zikiendelea Msikitini hapo baada ya Swala ya Eid
Ndugu na marafiki waliokutana msikitini wakialikana kupata bwaba la Eid kama wanavyoonekana hapa 
Juu na chini ni pongezi za Eid zikiendelea.
Picha na Saleh Mohammed,Washington,DC
Kwa picha zaidi Bofya Read More

1 comment:

Anonymous said...

Jazaaka Allahu Khairan!!!