ANGALIA LIVE NEWS

Monday, September 19, 2011

KISOMO CHA WAHANGA WA MV SPICE ISLANDER,WASHINGTON,DC

KISOMO CHA WAHANGA WA MV S. ISLANDER (1)
Wakina mama  na watoto wao wakiwa  kwenye kisomo cha kuwaombea wahanga wa M.V. Spice Islander kilichofanyikia Hillandale,New Hamshire,AV
KISOMO CHA WAHANGA WA MV S. ISLANDER (5)
Wakina baba wakiwa kwenye kisomo cha kuwaombea wahanga wa M.V.Spice Islander kilichofanyika,Hillandale,New Hamphire AV
KISOMO CHA WAHANGA WA MV S. ISLANDER (4)
Wakina mama waliokuwepe kwenye kisomo hicho
KISOMO CHA WAHANGA WA MV S. ISLANDER (7)
Wakina baba wakiendelea na kisomo hicho,watatu kutoka kushoto ni afisa Ubalozi,Abas Missana
KISOMO CHA WAHANGA WA MV S. ISLANDER (12)
kisomo kikiendelea cha kuwaombea Wahanga wa M.V. Spice Islander
KISOMO CHA WAHANGA WA MV S. ISLANDER (16)
Kisomo kikiendelea kuwaombea Wahenga wa M.V.Spice Islander kilichofanyikia Hillandale,New Hampshire Av
KISOMO CHA WAHANGA WA MV S. ISLANDER (13)
kisomo kikkishirikisha wakubwa na wadogo kuwaombea Wahanga wa M.V.Spice Islander kichofanyika Hillandale,New Hamshire Av
KISOMO CHA WAHANGA WA MV S. ISLANDER (14)
wakina mama na watoto wao wakiwa kwenye kisomo cha Wahanga wa M.V.Spice(picha zote kwa hisani ya Mkuu wa Mkoa,Washington,DC,Saleh Mohammed)

No comments: