.jpg?psid=1)
Wakina mama na watoto wao wakiwa kwenye kisomo cha kuwaombea wahanga wa M.V. Spice Islander kilichofanyikia Hillandale,New Hamshire,AV
.jpg?psid=1)
Wakina baba wakiwa kwenye kisomo cha kuwaombea wahanga wa M.V.Spice Islander kilichofanyika,Hillandale,New Hamphire AV
.jpg?psid=1)
Wakina mama waliokuwepe kwenye kisomo hicho
.jpg?psid=1)
Wakina baba wakiendelea na kisomo hicho,watatu kutoka kushoto ni afisa Ubalozi,Abas Missana
.jpg?psid=1)
kisomo kikiendelea cha kuwaombea Wahanga wa M.V. Spice Islander
.jpg?psid=1)
Kisomo kikiendelea kuwaombea Wahenga wa M.V.Spice Islander kilichofanyikia Hillandale,New Hampshire Av
.jpg?psid=1)
kisomo kikkishirikisha wakubwa na wadogo kuwaombea Wahanga wa M.V.Spice Islander kichofanyika Hillandale,New Hamshire Av
.jpg?psid=1)
wakina mama na watoto wao wakiwa kwenye kisomo cha Wahanga wa M.V.Spice(picha zote kwa hisani ya Mkuu wa Mkoa,Washington,DC,Saleh Mohammed)
No comments:
Post a Comment