ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, October 8, 2011

MKUTANO WA NENO LA MUNGU ULIVYOKUA JANA IJUMAA OCTOBER 7,2011

 MC Jacob Merere akifungua mkutano wa Neno la Mungu
Mchungaji Frednand Shideko akifungua mkktano wa neno la Mungu kwa Sala
 
Rev Grace Mbuse kutoka Arusha akielezea jambo kwenye mkutano huo wa neno la Mungu
 
Kushoto ni Bishop Peter Kitule kutoka Musoma akiwa pamoja na Mchungaji Frednand Shideko
Wachungaji waliokuwepo kwenye mkutano huo wa neno la Mungu kutoka makanisa mengine isipokua John Mbatta(kulia)
Waumini kutoka kila sehemu walikuwepo
kutoka shoto ni Tino,Mary na Joanita
waumini wakifuatilia mkutano wa neno la Mungu
Mama na mwana
Karibuni kila mtu unayemjua alikuwepo
Kwa picha zaidi Bofya Read More




2 comments:

Anonymous said...

ubarikiwe sn luke kwa kutupost vitu hv

Anonymous said...

wow...nice who is she the lady mwenye fur coat amepenzeza sana