Wednesday, November 23, 2011

KIKAO CHA NEC DODOMA LEO

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akiwa tayari kuongoza kikao cha NEC leo katika ukumbi wa NEC Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma leo. Wengine kutoka Kushoto ni Mwenyekiti Mstaafu wa CCM, Benjamin Mkapa, Rais wa Zanzibar Dk. Sheni, Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar) Amani Abeid Karume na kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Pius Msekwa na Katibu Mkuu wa CCM Wilson Mukama.

 Kiwete akiongoza kikao cha NEC mjini Dodoma. Wengine kutoka Kushoto ni Mkapa, Shein na Karume.

 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akimsalimia Mbunge wa Monduli na Mjumbe wa NEC, Edward Lowassa. Kulia ni Mjumbe wa NEC Kingunge Ngombale Mwiru na katikati ni Mjumbe wa NEC, Frederick Sumaye. (Picha zote na Bashir Nkoromo).
 Nape akimsalimia Sumaye
  Katibu wa NEC, Uchumi na Fedha Mwigulu Nchemba akimsalimia Lowassa. Katikati ni Kingunge Ngpbale Mwiru
 Kingunge akimpiga nasaha Lowassa
 Wajumbe wakipitia makabrasaha kabla ya kuanza mkutano
 Lowassa akisalimiana na Shamhuna
 Chenge (kulia) akipitia kabrasha
 Katibu wa NEC Oganaizesheni Asha Abdallah Juma akisalimiana na Mjumbe wa NEC Kawawa. anayewashuhudia ni Katibu Mkuu wa CCM , Martine Shigela
 Wajumbe wakiwa kwenye mkutano wa NEC leo
Kwa picha zaidi Bofya Read More


No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake