ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, December 6, 2011

Tovuti RSS Feed Jumatatu, 05 Desemba 2011 Wakazi wa Kinshasa wakimbia wakihofia kuzuka ghasia

Wanachama wa upinzani UDPS wakishikilia picha za Etienne Tshisekedi zilizo na damu baada ya walinzi wa rais kufyatua risasi kwenye kundi la watu nje ya uwanja wa ndege wa Kinshasa.
Wanachama wa upinzani UDPS wakishikilia picha za Etienne Tshisekedi zilizo na damu baada ya walinzi wa rais kufyatua risasi kwenye kundi la watu nje ya uwanja wa ndege wa Kinshasa,NDjili huko Kinshasa.
Maelfu ya watu wanaoripotiwa kufikia 3000 wamekimbia jamhuri ya kidemokrasia ya Congo wakihofia mlipuko wa ghasia.Kwa habari zaidi Bofya Hapa

No comments: