Saturday, March 3, 2012
CHEKA UNENE!
Mdada kachukua simu ya mpenzi wake akaibeep ili aone mpenzi wake kamsave kwa jina gani. Akajua litatokea jina kama Wife, Honey, Sweety au Mupenzi. Lahaula jina lililotokea Agustino Fundi Majeneza
Na Lilian Tairo
No comments:
Post a Comment
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake