Watanzania sasa mjifunze kuipenda na kujivunia lugha yenu. Ona huyu ni mkenya na tena ameishi ulaya miaka mingi na bado anazungumza kiswahili kizuri kuliko wale wenzangu na mie wenye kujifanya wamesahau kiswahili hata kama hawajawahi kutoka nje ya tanzania.
2 comments:
Dada upo juu vibaya sana mama hongera sana yani ni mzuri kweli angalia anavyojuwa kuongea your the best mungu akuongezee kipaji zaidi
Watanzania sasa mjifunze kuipenda na kujivunia lugha yenu. Ona huyu ni mkenya na tena ameishi ulaya miaka mingi na bado anazungumza kiswahili kizuri kuliko wale wenzangu na mie wenye kujifanya wamesahau kiswahili hata kama hawajawahi kutoka nje ya tanzania.
Post a Comment