hapo wamejirusha kwa raha zao,imependeza, hapo kuna marais watatu,Rais Bongo na mkewe(wote marehemu),Rais Sasou Nguesso ambao ni wakwe wa Bongo,pia kuna Rais Teodoro Nguema ma bodguard wake toka Moroco.waafrica hapo wamenona sio zile picha za watoto wetu na inzi machoni jamani
hapo wamejirusha kwa raha zao,imependeza, hapo kuna marais watatu,Rais Bongo na mkewe(wote marehemu),Rais Sasou Nguesso ambao ni wakwe wa Bongo,pia kuna Rais Teodoro Nguema ma bodguard wake toka Moroco.waafrica hapo wamenona sio zile picha za watoto wetu na inzi machoni jamani
ReplyDelete