ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, March 17, 2012

SHEREHE BAADA YA HARUSI YA AJ NA HELEWA, KNIGHT OF COLUMBUS

 Wakina Dada wakijiandaa kuwalaki Bwana na Bi Harusi walipokuwa wakiwasili ukumbi uliopo Cherry Hill Rd, College Park.
 Maharusi wakiwasili kwenye Ukumbi wa Knight Of Columbus uliopo College Park.
 Maharusi wakielekea ukumbini
 Ni vigeregere na shangwe kwa Maharusi  huku wakiwa wameshikana mikono kama ishara ya upendo.
 AJ na Helewa wakimeremeta.
 
 Mama akitoa husia kwa niaba ya wazazi wa Helewa
Ndugu jamaa na marafiki wa karibu wakipata picha ya pamoja.
 
Dj Luke akitumbuiza kwenye sherehe hiyo.
 Wageni waalikwa wakipata picha ya pamoja.
 Baadhi ya wanakamati wakifuatilia sherehe.
 Maakuli yakiandaliwa.
 Ndugu, jamaa na marafiki wapata picha ya pamoja.
 DC sisters wakiandaa menyu.
 Ndugu, jamaa na marafiki wakiandaa chakula cha jioni.
 wageni waalikwa wakiwa kwenye meza yao.
(Picha na NY Ebra, Muakilishi wa Blog ya VIJIMAMBO New York)
Kwa picha zaidi Bofya Read More

12 comments:

Anonymous said...

ebra mauzo ya hali ya juuuuuuuuuuu bro, hauuziki mnadani kaka langu, watakuweza wapi !!!!!!!!!!!!!!!!!!! me love this

Anonymous said...

Big Up Aj Wish you all the best happy couple and long life merried.....

Anonymous said...

maisha ni hapa hapa Duniani. Allah akbar!

Anonymous said...

Mashaallah huyu wa kwenye picture aliotokea Dulla wa Zai, alievaa kilemba chekundu Kama cha kimaskati nimekipenda ametokea Kama swahaba wa mtume Mohamad ( saw) na wanaume woooote mmependezaje na vibarakashia. DJ luker napenda umevaa kibalakashia na wewe umenogesha shughuli.

Anonymous said...

HONGERA SANA MAHARUSI, BI HARUSI KAPENDEZA HASA !!
MDAU WA DC

Rachel Siwa said...

Hongereni sana Mungu abariki ndoa yenu.hahaaha Ustadhi Luke umependeza!

Anonymous said...

kk yangu Adam umependeza sanaaaaaaa na kk yangu Alawi si mchezo uislamu niukubali...

Anonymous said...

Hongera sana AJ,bi Harusi kapendeza sana,Mungu atabariki pendo lenu na kuwaondolea jicho la husuda.

Anonymous said...

Congratulations lovebirds..best of Luck!

Anonymous said...

njoo muone ilivyo vema na kupendeza ndugu wakikaa pamoja kwa umoja Aj na Helewa safi sana mapenzi kizungu zungu wenye wivu wajinyonge.

Anonymous said...

Du ebra! sura yako tu ma dia!

Anonymous said...

kweli ustadh wangu wa kilemba chekundu kama si wewe Mashaallah;
salama zao Nj!pia hongereni sana bwana na bi harusi M/Mungu awape
subra kila moja wenu,Insha Allah!