Naibu waziri wa Mawasiliano akisalimiana na Juma Pinto

Siku ya Ufunguzi wa City Sports Lounge, picha za wananchi mbali mbali waliohuduria wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Club, Bw. JumaPinto, (mwenye fulana ya kijani), hapa chini aliyesimama ni Mjumbe wa UV-CCM, Taifa, Mh. Ridhiwani Kikwete.
No comments:
Post a Comment