Advertisements

Saturday, May 5, 2012

SOKO LA MITUMBA TANDALE LAUZWA KINYUME NA SHERIA


Wafanyabiashara ya mitumba wakiwa wamepanga bidhaa zao jana uku kipande cha soko hilo la mitumba lililopo Tandale Dar es salaam ikiwa inasadikiwa kuuzwa kwa mtu binafsi kinyume na sheria za masoko NCHINI
Wafanyabiashara ya mitumba wakiwa wamepanga bidhaa zao jana uku kipande cha soko hilo la mitumba lililopo Tandale Dar es salaam ikiwa inasadikiwa kuuzwa kwa mtu binafsi kinyume na sheria za masoko (picha kwa hisani ya Burudani)

No comments: