ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, June 12, 2012

Waziri Mwakyembe Apanda Treni Kwenda Bungeni


Habari za kuaminika zimeifikia Blog ya Vijimambo kwamba Yule Waziri wa Uchukuzi Mh. Dr. Harrison Mwakyembe amepanda Treni ya Reli ya Kati kuelekea kwenye kikao cha Bunge. Sasa wadau tusubiri atoe dodoso la safari na malengo ya safari yake hii ya aina yake kwa Mh. Mwakyembe 

No comments: