Advertisements

Tuesday, July 31, 2012

FURSA KWA VIJANA WA DODOMA WIKI IJAYO

Habari
Mimi ni mjasiriamali na mwezeshaji na kocha wa biashara,Kwa kifupi tu Naitwa Deogratius Kilawe.Wiki ijayo nitakuwepo Dodoma,natafuta wawakilishi au wanafunzi wa dodoma university,hombolo na vyuo vingine kama CBE,ST.JOHN ili nikija huko next week nifanye semina mbili tatu kama wewe unatoka vyuo vya dodoma wasiliana nami sasa ili nije nifanye semina ya FURSA ZILIZOPO TANZANIA ZINAZOWEZA KUKUSTAWISHA KIBIASHARA. Piga simu namba 0717109362 kuwasiliana nami.Pia nitakuja na vitabu vyangu na kuteua agent wangu wa vitabu vyangu.
Pia Taasisi nyingine za mambo ya biashra tunaweza wasiliana.

Piga 0717109362


No comments: