ANGALIA LIVE NEWS

Thursday, September 27, 2012

Hili ndilo Kundi la Polisi lililo fika eneo la uwanja wa kilombero



 Lilifika Gari moja kwanza

Hali ilipo zidi kuwa tete yakaongezeka Mawili
Sasa Yamekuwa matatu na yote yamejaa FFU kwa ajili ya kulinda usalama wa wananchi..

Hata Hivyo mpaka tunapo toa Taarifa muda huu Polisi hao wamesha ondoka eneo la tukio, na mambo ni Shwari kabisa. 
Hili lilikuwa tuu ni tukio Live katika picha kuwaonesha jinsi mambo yanavyo kwenda pande za Arusha 

PICHA ZOTE NA 

No comments: