
Watanzania pamoja na waumini wengine wa dini ya kiislam wakiwa kwenye swala ya Eid iliyofanyika Boston, Massachusetts, nchini Marekani.

Mkuu wa wilaya ya Springfield Bwn. Kibodya akifuatilia Swala ya Eid

Mkuu wa Wilaya akiwa na mama mwenye nyumba wake

Watanzania waishio Massachusetts wakisherehekea sikukuu ya Eid Al Haji iliyofanyika Jiji Boston

Watoto wakifurahia zawadi za Eid kama unavyowaona katika picha.

Mkuu wa mkoa (kati) akiwa na wadau

Aunty akiwa kwenye sherehe za Eid Al Haji Boston, Massachusetts.

Aunty akipata ukodak moment

Mkuu wa wilaya Bwn. Kibodya akipata picha ya pamoja na Salum Salum (kulia) baada ya swala ya Eid Al Haji

Issu shoto katika picha ya pamoja na mkuu wa Wilaya.
Kwa picha zaidi bofya read more












No comments:
Post a Comment