ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, November 6, 2012

Chama Cha Mapinduzi Tawi la Tri-State (New York, Boston na New Jersey)


5 Novemba 2012 
Kwa: Katibu Mkuu 
Chama Cha Mapinduzi 
Yahusu: Kumchagua tena Mwenyekiti wa Taifa Ndugu Dkt. Jakaya Kikwete 
Kidumu Chama Cha Mapinduzi! 
Kwa kauli moja Viongozi wa Tawi na Wanachama wote tunamuunga mkono Mwenyekiti Ndugu Dkt. Jakaya Kikwete kugombea nafasi ya Uwenyekiti wa Chama Taifa. 
Ndugu Dkt. Kikwete ameonyesha umahiri, uongozi wenye tija na mafanikio katika kipindi cha miaka mitano iliyopita. 
Tunapenda kuungana na wanachama wote na wajumbe wa Mkutano Mkuu Dodoma kumchagua Mwenyekiti wetu Ndugu Mh. Jakaya Mrisho Kikwete 
Kidumu Chama Cha Mapinduzi! 
Ahsanteni 

Katibu wa Tawi 
Kny; Uongozi CCM New York

No comments: