ANGALIA LIVE NEWS

Sunday, December 9, 2012

MATUKIO MBALI MBALI YA SHEREHE ZA MIAKA 51 YA UHURU

Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wakipiga Gwaride kwa mwendo wa haraka.

Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Mama Maria Nyerere kwenye maadhimisho ya miaka 51 ya Uhuru.

Gozibety Mbwele (3)akipiga ngoma kwa umakini na kuwa kivutio cha hali ya juu,mbele yake ni Nyamburi Mganga (5) akicheza kwa umaridadi, watoto hawa ni wasanii kutoka kundi la Utandawazi,Mwanza.
Kikundi cha ngoma kutoka Rwanda kikitoa burudani ya kipekee uwanjani hapo.


Watoto hodari wakishiriki katika halaiki kwenye sherehe ya kuadhimisha miaka 51 ya Uhuru.

1 comment:

Anonymous said...

hongera rais kikwete