Friday, February 1, 2013

BAADA YA MWAKA JANA KUONDOKEWA NA MAMA YAKE MZAZI SUMA LEE AFIKWA NA MSIBA TENA SAFARI NI BABA MZAZI

Msanii kutoka hapa nchini, Sumalee au maarufu kama "Mzee wa Hakunaga" amefiwa na baba yake mzazi masaa machache yaliyopita.

Sumalee ambae ni msanii kutoka Tanzania anaefanya shughuli zake za kimuziki akitamba na ngoma zake kadhaa kali kama "HAKUNAGA" na nyinginezo amekutwa na msiba huu huku yeye akiwa nchini Uingereza katika kazi zake za muziki.
Sumalee pia alimpoteza mama yake mzazi akiwa nchini Marekani kikazi.

No comments: