Saturday, February 2, 2013

MTIBWA NA YANGA KATIKA PICHA LEO TAIFA, LILIKUWA BONGE LA MECHI

Kiiza akijiandaa kupiga shuti
Kipa Hussein Sharrid 'Casillas' wa Mtibwa Sugar akizuia mchomo wa mshambuliaji wa Yanga SC, Jerry Tegete
Daktari wa Yanga, Nassor Matuzya akimtibu kiungo wa Yanga, Simon Msuva baada ya kuumia katika moja ya pilika za mchezo huo
Kiungo wa Mtibwa Sugar, Shaaban Kisiga 'Malone' akimiliki mpira mbele ya wachezaji wa Yanga, Athumani Iddi 'Chuji' na Mbuyu Twite kulia
Wachezaji wa Mtibwa wakimpongea Kisiga baada ya kuifungia timu yao bao la kuongoza leo
Picha kwa hisani ya Bin Zubeiry Blog bofya read more kwa picha zaidi
Kikosi cha Mtibwa leo
Kikosi cha Yanga leo
Hamisi Kiiza wa pili kutoka kushoto na Said Bahanuzi kabla ya kuingia kuinusuru Yanga leo
Kipa Hussein Sharrif 'Casillas' akiwa ameruka juu kuokoa moja ya hatari langoni mwake
Casillas anampokonya mpira miguuni Tegete akienda kufunga
Simon Msuva wa Yanga kushoto akimtoka beki wa Mtivwa
Didier Kavumbangu alifanikiwa kumlamva chenga Casillas, lakini akapiga nje
Kavumbangu anamlamba chenga Casillas
Tegete chini ya ulinzi mkali wa mabeki wa Mtibwa
Tegete ameacha mpira, baada ya Casillas kuuzuia
Beki wa Mtibwa, Salum Swedi akimdhibiti mshambuliaji wa Yanga, Didier Kavumbangu 
Beki wa Mtibwa, Said Mkopi akiondosha mpira kwenye hatari mbele ya mshambuliaji wa Yanga, Hamisi Kiiza
Kiungo wa Yanga, Frank Domayo akimiliki mpira mbele ya kiungo wa Mtibwa, Rashid Gumbo
Haruna Niyonzima akiondoka na mpira mbele ya mchezaji wa Mtibwa
Casillas hapa anazuia mchomo wa Msuva
Shaaban Nditi akitafuta mbinu za kumpokonya mpira, Haruna Niyonzima mbele
Msuva akimtoka Issa Rashid 'Baba Ubaya'
Mpira umetulia nyavuni, bao la Mtibwa huku wachezaji wa Yanga wakilaumiana na kipa wao
Casillqas akiwalalamikia mabeki wake, mpira uko nyavuni mfungaji Kiiza anaanza kushangilia akisindikizwa na Tegete

No comments: