Hivi ndiyo timu ilivyopokelea maeneo ya uyole jijini Mbeya hapa timu ya Mbeya City inapokelewa na mashabiki wake
Ni vituko mtindo mmoja jamaa kwa furaha ya timu ya Mbeya City kupanda daraja kushiriki ligi kuu anataka kuvua suruali
Chales Mwakipesile Dr Samwel Lazaro na mhandisi wa barabara wakipanga ratiba ya mapokezi
Hivi ndiyo timu ilivyopokelea maeneo ya uyole jijini Mbeya hapa timu ya Mbeya City inapokelewa na mashabiki wake
Watumishi wa jiji la Mbeya wakionyesha furaha yako kwa kucheza kiduku
No comments:
Post a Comment