Advertisements
VIJIMAMBO TV
Live streaming video by Ustream
Wednesday, March 13, 2013
Mvua kali zaharibu nyumba kadhaa mkoani Mtwara.
Mvua kubwa zilizonyesha mkoani Mtwara zimesababisha nyumba kadhaa mitaa ya Magomeni Matopeni na Nkana-red katika manispaa ya Mtwara/Mikindani kubomoka, zingine kuingiwa na maji na kusababisha hasara kubwa ya mali na maisha ya watu kuwa hatarini
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment