
Mvunja rekodi: Lionel Messi akiwasili na mpenzi wake usiku wa jana

Amepona: Eric Abidal amerejea uwanjani mwaka huu baada ya kufanyiwa upasuaji wa ini
Barcelona akwa sasa inaizidi pointi 10 Real Madrid ikiwa imebakiza mechi moja, wakati ligi imebakiza wiki mbili.

Mabeki wa taji: Carles Puyol na Dani Alves

David Villa akiwasili kwenye sherehe za ubingwa Barcelona

Cesc Fabregas na mpenzi wake, Daniella Semaan wakiwasili

Eniesta akiwa na kimwana wake

Gerard Pique akiwa na wake wa ubani


Kocha Tito Vilanova akiwasili, picha na Bin Zubeiry
1 comment:
haya mambo ya nyumba ndogo na cheating zilivyojaa bongo ukisema Yanga walete vimwana wao kusherekea ushindi si utazua kesi za fumanizi shughulini mhh inakua kweli?
Post a Comment